Sunday, June 17, 2012

KENUA MENO...


 KENUA MENO...
Chukulia  umlala… ukaota umekufa halafu upombinguni...ila malaika anakwambia unanafasi yakurudi duniani tena ..lakini unatakiwa uchague urudi kama KUKU au BATA:wewe kwa moyo mmoja ukaona yes bora uweKUKU..MALAIKA akakwambia lazima ufanye mazoezi ya kutaga kabla haujarudi ….ukaona daaah…!poa
Basi bwana ukaanza kujikwinya iliuone kama yatatoka au vipi…ghafla likatoka MOJA tena zuri ukaona yes kumbe unaweza..ukajaribu tena mara ya pili yakatoka mawili makubwa….
Ghafla ukashtuka usingizini …ile kucheki MAYAI yako daaaaah…..! unakuta umejinyea …mkubwa----mmhhh….!nomaaaa……
                                                         By nasri selemani

No comments:

Post a Comment