Tuesday, June 19, 2012

PASUA MBAVU..


Madaktari watwangana makonde wakiwa kazini, nimara baada ya mama mmoja kumpeleka mwanae hospitarini hapo ilia apate suna(kutahiriwa) mtoto huyo wa jamii ya albino aliacha gunzo baada ya kukatwa govi lake..madaktari wakaanza kutwangana mijikonde wakigombania govi kwa lengo la kupata utajiri …je  vijana wa kialbino waende wapi kutahiriwa ikiwa porini wanaogopa ,hospitali ndio kama hivyo,au waendelee kubaki na magovi yao…….?

No comments:

Post a Comment