chungwa
akamuuliz ndizi ..kwanini wewe ukitaka kuliwa mpaka uvuliwe nguo zotee..? ndizi akajibu..nawewe kwanini ukitaka
kuliwa mpaka ukatwe kIsha ufyonzwefyonzwe..? kabla hawajajibiana akatokea penshen….namimi hivyo vivyo mpaka
nikatwekatwe ,niingizwe kidole nizunguushwe zunguushe halafu ndo niliwe………chungwa na ndizi wakabaki haaaaaaaaaaah….!
No comments:
Post a Comment