Sunday, July 15, 2012

KWANINI FACEBOOK IFUNGWE..MMILIKI AFAFANUA KWA KINA

dunia imekumbwa na mshtuko mkubwa mkiwemo nyie rafiki zangu kusikia habari hii watu wanajiuliza ni kipi kinasababisha facebook kufungwa MARK alizungumza kwenye chombo cha habari nchini marekani DHT NEWS nakusema kuwa mtandao wa facebook unatarajiwa kufungwa kutokana na uwezo wake wa kuendesha mtandao huu kua pungufu hivyo anatarajia ku shut down mtandao huu amesema MARK watu wanatakiwa kuhamisha kumbu kumbu zao kutoka facebook kabla ya july 15/2012 na anafanya hivi ili watu kutokuwa na marafiki facebook wa uongo na kupata marafiki wa kweli kwa kukutana na sio kwa facebook shirika la mitandao la marekani WORLD NETWORK COMMUNICATION limekanusha habari hii na kusema kwamba facebook ni mtandao ambao unapatia kiasi kikubwa cha fedha nchini marekani licha ya hivyo facebook ni mtandao ambao watu wanatumia kutangaza biashara zao ni mtanzao ambao unatumiwa kisiasa na mambo nengine mengi hivyo si rahisi mtandao wa facebook kufungwa na kampuni ya mitandao marekani WORLD NETWORK COMMUNICATION kutokukubaliana na jambo hilo la facebook kufungwa...

No comments:

Post a Comment