Mzee mmoja
alienda kufanya upasuaji wa korodani
zake hospitali alipofika DR.alizitoa zile korodani na kuziweka pembeni
ili aendelee na uchunguzi mwingine..ghafla paka akaingie hodini na kubeba zile
korodani kisha akasepa nazo ..DR. baada ya kuona vile akaamua kumuekea viazi
ili mzee asijue chochote..
Baada ya
siku kadhaa DR alikutana na Yule mzee
nakumuuliza unaendeleaje na hali…? Mzee akajibu naendelea vizur ila
kunamabadiliko kidoogo katika mwili wangu badala ya kuota mavuzi sasa naota matembele…….!!!!!
No comments:
Post a Comment