Thursday, July 12, 2012

TUACHE KULA VITU OVYO BARABARANI......

hii kazi unayo iyona hapo juu sasa yapamba moto katika nchi maskini ikiwemo TANZANIA..maranyingi nyama kama hizi zinatengenezwa vizuri na kuhifadhiwa katika mifuko maalum kisha wanaipeleka kwenye maduka yetu ya super market...chondechonde sana ndugu mtanzania  kwa sasa kunawahuni wameshaanza kuiga tabia hiyo na kutupelekea mitaani kwetu tunapo ishi  kwahiyo nivizuri kuepuka kulakula ovyo huko mitaani....hata wale wanaouza mishkaki ya bei rahisi epukana nao...

No comments:

Post a Comment