WAJUE WANAUME WALAGHAI NA VIJITABIA VYAO..
1. Hujifanya yupo tayari kukfanyia lolote hata liwe nje ya uwezo. Hapo b4 hujampa mwili wako.
2. Mwanzoni mkiwa mnawasiliana anajidai hapend ngono na hana haraka nayo.
3. Bingwa wa kukutambulisha kwa rafiki zake. Hao ameshawambia mapema kuhusu wewe hvyo watamfichia siri.
4. Bingwa wa kuzisifia sehemu zako nyeti mfano. Una kifua kizuri, upo sexy baby.
5. Mkizoeana kdogo anaanza mtindo wa 'phone sex' . Hii huwa inawapagawisha kweli wasichana.
6. Asubuh na mapema ana2ma vocha. Ukishamvulia chu* sahau kuhusu hzo ofa.
7. Anajidai mkweli anakwambia kila ki2 hata kama hujamuuliza.
8. Hawakawii kujitangaza eti wametakwa kimapenzi na msichana flani. 'ah! Bby kile kisichana kinanitaka mi ctaki'
9. Kila unalosema anafanya. Ukitaka aje anakuja, ukitaka vocha
unapata. Unaweza kudhani bwege kumbe anakulia time uingie mtegoni
afyatue.
10. Wana ahadi tamu zisizotekelezeka. Hawachelewi kujidai wapo tayari kufa kwa ajili yako.
11. Ni mahiri katka kuwasema wenzao kuwa wana tabia mbaya. Wao wanajidai wasafi.
12. Mara nying wanafunga cm zao kwa pasword. Hufungui kizembezembe!
# ni vgumu kuwatambua kwakweli! Ila wapo wenye mapenzi ya kweli
****kwa ushauri ama maoni call me via 0787 992 993 au 0764 992 993. au wasiliana na blog hii...
kuwa memba wa blog hii kwa kubonyeza neno join hapo upande wa kulia juu kisha sign in kweye yahoo,Gmail,twitter kisha malizia .....follow then done
imeandikwa na Godwin G. Mbogo
No comments:
Post a Comment