Polisi inamshikilia mzee mmoja anaye
husishwa na matukio ya uchunaji ngozi za binadamu. Pamoja pia imeelezwa
kuwa kuna baadhi ya watu wanaoshukiwa kuhusika na tukio hilo lakini
wanaachiwa kirahisi na polisi wa eneo hilo.
Kushoto ni daktari aliyethibitisha tukio hilo akisaidiana na polisi kubeba mwili huo ili kuuhifadhi kwenye sanduku.
No comments:
Post a Comment