Mimi
ni mmoja kati ya wadau ambao husifia sana kazi za Diamond. Ni kweli
amekua akifanya vizuri kwenye Audios, Videos, hata live performance. Ila
kwa hili tukio alilolifanya kwenye Fiesta 2012 ndani ya Leaders Club
nimeshindwa kuelewa alikua na nia gani. Huwa sipendi kumlaumu mtu moja
kwa moja sababu huwezi fahamu nini hasa kilimpelekea kufanya hiviyo. Ila
kwa haraka haraka naweza sema hakutumia busara kufanya hivyo jukwaani.
Maswali nijiulizayo:-
Maswali nijiulizayo:-
- Alikua anatangaza biashara ya mavazi hayo baada ya kuahidiwa pesa nyingi?
- Aliamua kufanya hivyo kupagawisha mashabiki?
- Bombe au kilevi chochote kingine ndicho kilimpelekea kufanya hivyo?
No comments:
Post a Comment