Thursday, November 1, 2012

Angalia picha hizi(4), Umemuona Mwenye Karatasi Mkononi???



a
 
Jamaa wa Korea
Angalia picha hizi utamuona, hii sio mara yake ya kwanza kubeba makaratasi mkononi anapokuwa na maongezi ya faragha na viongozi ziarani magharibi. Hawa wote ni viongozi wa nchi za nje walikutana USA kwenye mkutano wa kimataifa, viongozi wote walipata fursa kutana na Obama kwa muda wa dakika chache tu lakini wa TZ hadi alibeba karatasi.... Mkapa hakuwa anafanya hivyo enzi zake.
wa TZ
 
kushoto Afghanstan na kulia Pakistan

raisi Shimon Peres wa Israel
kulia mwenye mvi aliyeva mawani ni raisi wa Palestine aki-chat na Obama & Biden

No comments:

Post a Comment