-Kesi yaahirishwa hadi Nov 15 mwaka huu.
-Dhamana yaruhusiwa kwa washtakiwa wote isipokua Ponda.
-Wafuasi wa Ponda walitaka kuleta rabsha kidogo lkn walidhibitiwa.

Ponda na wenzake baada ya kesi kuahirishwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu Dar leo.

Washtakiwa wenzake na Ponda wakifungwa pingu mahakamani.

Ulinzi mbele ya mahakama ya kisutu.
No comments:
Post a Comment