...........
Mtoto wa miaka shule ya secondary mwenye umri wa miaka 11 toka
Holbrooks, Coventry (UK) ameunguzwa na simu ya mkononi aina ya
BlackBerry smartphone (the Curve 9320 handset) ambayo ililipuka na
kusababisha moto kwenye kitanda chake usiku alipokuwa amelala usingizi.
Kian McCreath akiwa ameshikilia simu yake iliyoungua.
hii ndio simu iliyoungua
Mkasa huo ulitokea saa 8 za usiku dakika chache baada ya mama yake
Kian McCreath aitwaye Sarah kuitoa simu sakafuni kwenye charge nje ya
chumba cha Kian ilipokuwa imeachwwa na kwenda kuiweka
kitandani alipokuwa Kian kalala usingizi. mama huyo anasema kuwa dakika
chache baada kushuka aliamua kuingia jikoni kutengeza kikombe cha chai,
ndipo aliposikia mlipuko mkubwa ukitokea juu vyumbani. Alipokimbia
kwenda juu mara akasikia sauti ya mwanae anapiga makelele na kusema kuwa
kitanda chake kinaungua moto, mama mtu alichukua blanket na kuzima
moto haraka kabla haujaunea. Mtoto huyo alipelekwa Hospital amabko
alipata matibabu.Vodafone, company iliyomuuzia simu baba yake Kian na kumpatia mwanae, mara moja bila kusita ilimpatia mtoto Kian simu nyingine (replacement), lakini Mr & Mrs McCreath wameiomba BlackBerry maker RIM (Researcher In Motion) kuzitoa simu zote za model hiyo (the Curve 9320) huku investigation ya kulipuka kwa simu ikiendelea ili kuokoa watu wengine wasije patwa na madhara. Ujumbe wa juu wa company itengenezayo BlackBerry toka Canada imewasili nchini Uingereza na kwenda hadi nyumbani kwao mtoto Kian kumpa pole na kuangalia simu hiyo iliyoungua na kujadiliana na wazazi jinsi ya kutatua tatizo hilo ingawa Mr McCreath hataki chochote zaidi ya kutaka simu model hiyo zote zitolewe kabisa kwenye market (madukani) sababu ni ya bei nafuu na watoto wengi (teenagers) sana wanaipenda kwa kuwa na free BBM message service offered by BlackBerry. Mjumbe wa RIM anasema kuwa hiyo ndio mara yao ya kwanza kusikia case kama hiyo.
No comments:
Post a Comment