kiongozi m1 wa dini alikuwa akihubiri.
Mwisho aka uliza swali. Nani akiambiwa aende motoni ataenda asimame juu. Mzee
m1 akasimama. Akaambiwa mzee acha masihara kaachini. Mzee akakaa. Akaulizatena
nani akiambiwa sasa hivi aende jehanamu ataenda asimamejuu. Yule mzeea
akasimama. Akaulizwa kwanini. Akajibu- mm nina huruma sana. Wa2 wote hawa
hakuna hata m1 ambaye anataka kukupa kampani huko motoni mi nikaona bora twende
wote. Maana ulikuwa umesimama mwenyewe huruma ikanijia. Ndo nikaona nikupe
kampani
No comments:
Post a Comment