Thursday, January 1, 2015

HUU NDIO MUONEKANO WA MAHAKAMA YA MWANZO ILIOPO KIBAHA MAILI MOJA

 leo katika africanmishe.blogspot.com tuna kuletea muonekano wa mahakama ya mwanzo ya kibaha maili moja ambayo serekali imeshindwa ata kuikarabati japo ni mahakama iliyo zaidi ya miaka 20 je ni kweli serikali aiyaoni aya majengo au kunani?

 hiyo apo picha ni askari aliye leta watuhumiwa kwenye mahakama iyo ya mwanzo ya kibaha maili moja
      nahiyo apo picha ni choo cha mahakama hiyo ambacho akifanani kabisa na hadhi ya mahakama hiyo

No comments:

Post a Comment