Mapenzi ni sawa na
majani..! na Majani huota popote hata kama bila ya kupandwa,,je
msemo huu ni sahihi kweli ..? kama ni kweli
je nihalali kaka na dada kuotesha penzi kati yao ? ..vip baba na mtoto
..au mtoto na mama..? je mtumishi na bosi
wake ..au mfanyakazi wa serekalini na mwanafunzi..
Mapenzi ni
maridhiano ya wawili kati ya mwanamke na mwanaume tena watoke familia au koo
tofauti lakini ndugu wa damu au mzazi na mtoto duuuuu…! Huu ni uchafu na sio
mapenzi…
No comments:
Post a Comment