Nimeamua kuoa baada ya kutambuka kuwa kuwa na malaya wengi hakuna faida yeyote sanasana ningeweza kuambulia UKIMWI na magonjwe mengine ya zinaaa....
MAONI....vijana wenzangu nawaomba tubadilike sana pia maisha ya kufanya mapenzi ovyo sio mazuri
kabisaaaaaaaaaaaaaa...

No comments:
Post a Comment