MUMEWAKE ALISEMA MANENO HAYA:
ni bora ninge oa mbuzi au bata kuliko kahaba huyu asiekuwa na akili za kibinadam..hii ni mara ya pili namfumania gest mara yakwanza nili msamehe kwa kulinda heshima ya wazazi wake ..
leo ni mara yapili tena asubuhi ni mara baada ya kuniaga anakwenda sokoni....

No comments:
Post a Comment