Wednesday, June 20, 2012

PASUKA MBAVU..


Baada ya kusherekea harusi sasa muda wa 'MSOSI' ukafika., ikabidi watu wajipange na kusubiria maji ya kunawishwa kabla ya chakula. Badala ya watu kunawishwa maji ,basi wakawa wananawishwa mafuta ya kula…, washkaji wakitaa wakaanza kusifia duh..! Msosi utakaokuja hapa unaonekana si mchezo tena utakuwa kutoka mbele.. Maana kunawa 2 kwa mafuta, je huo msosi daaaaah,, Ghafla sahani za msosi zikaletwa kumbe walibeba vipande vya mafenesi na wakaanza kumgawia mmoja baada ya mmoja…i!! watu wote hoi….! la kusema hawana, kila m2 anamwangalia mwenzake…..!! washkaji wakabaki kutukana ilembaya….

No comments:

Post a Comment