Saturday, June 16, 2012

PREZDAA SHACO AVUNJA UKIMYA FACEBOOK.

Nawachukia sana marafiki wanafki kwenye FACEBOOK eti ukiwatag picha wanalalamika sana na kutishia kublock haaaaah ...nawshangaa sana wanaponipa TAARIFA tena wanaonyesha udhaifu wa hali ya juu..kama kweli hawapendi na ninawaboa haina aja ya kunijuza we niblock tu

UTANIDISI  MBAKA LINI.....!  NIBLOCK ILI NIONGEZE MARAFIKI WA KWELI..

No comments:

Post a Comment