Sunday, November 11, 2012

Binti aunguzwa sehemu za siri

Mama mmoja mwenye umri wa miaka 26, Mrs. Blessing Uche, ameusikitisha umma wa watu pale alipommwagia maji ya moto mtoto wake wa kike mwanzoni mwa wiki hii.




Mwanamama huyo kwa sasa anashikiliwa na POLISI kwa ajili ya maelezo zaidi na wanaharakati wa kutetea haki za watoto wameonekana kulivalia njuga swala hili kwa kutangaza kumfungulia kesi mwanamama huyo.

No comments:

Post a Comment