Franz alisema kuwa 'tattoo' ni jambo lake binafsi, halina uhusiano na kugombea kiti cha Urais. Pia ushindani wa kiti cha Urais siyo shindano la urembo.
Wednesday, January 16, 2013
Huyu ndiye mgombea kiti cha Urais Jamhuri ya Czech mwenye 'tattoo' 90% ya mwili wake.
Franz alisema kuwa 'tattoo' ni jambo lake binafsi, halina uhusiano na kugombea kiti cha Urais. Pia ushindani wa kiti cha Urais siyo shindano la urembo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment