Thursday, July 11, 2013

Taarifa ya kifo cha Mama mzazi wa Msanii Profesa Jay toka kwa DJ Choka



Profesa Jay kushoto akiwa na marehemu mama yake enzi za uhai wake.

Hii ni taarifa iliyotolewa na DJ Choka kupitia ukurasa wake wa twitter kuhusu kifo cha mama mzazi wa msanii wa hiphop Joseph Haule a.k.a Profesa J. Hii ni taarifa ya awali. Tulonge itaendelea kuwajuza juu ya hili.
Pia katika ukurasa wa facebook wa Black Rhyno ambaye ni mdogo wake Profesa J aliweka post kuhusu kifo cha mama yao kama uonavyo hapo chini.

No comments:

Post a Comment