Wakati akiendelea na onesho, watu humrushia fedha. Watu wengi hasa wageni wa Kigamboni huonekana kufurahishwa sana na onesho hili lisilo rasmi. Haijathibitishwa kama ameruhusiwa na uongozi wa eneo husika, kwani wafanya biashara ndogo ndogo hawaruhusiwi kufanya biashara eneo la hilo na ndani ya vivuko pia.
Saturday, October 26, 2013
Picha 10 za kijana anayetumia kipaji chake kujipatia kipato ndani ya kivuko cha Magogoni(Kigamboni DSM)
Wakati akiendelea na onesho, watu humrushia fedha. Watu wengi hasa wageni wa Kigamboni huonekana kufurahishwa sana na onesho hili lisilo rasmi. Haijathibitishwa kama ameruhusiwa na uongozi wa eneo husika, kwani wafanya biashara ndogo ndogo hawaruhusiwi kufanya biashara eneo la hilo na ndani ya vivuko pia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment